NIFANYE NINI ILI NIACHE TABIA YA KUPENDA MAJIMAMA?

Mimi ni kijana wa Miaka 21 , Na umri wangu huu mdogo lakini nimesha experience vitu vingi katika mapenzi...

Mwanamke wangu wa kwanza alikuwa na miaka 41 mimi nikiwa namiaka 19, toka kipindi hicho mimi nimekuwa nikipenda wanawake wazima wenye umri mkubwa...

Cha ajabu kila nikiwatongoza wanakubali wengi wao ni wake za watu ...Sasa imenikaa akilini nikimpata msichana mdogo siridhiki kabisa na mwishowe namuacha natafuta Mwanamke aliye nizidi umri...



0 commentaires:

Sema Tunakuskia na wewe